Maelezo ya Chini
a Gehena ilikuwa mahali pa kuunguzia uchafu inje ya Yerusalemu. Neno la Kigiriki lenye kumaanisha Bonde la Hinomu, lenye lilikuwa upande wa kusini-mangaribi wa muji wa zamani wa Yerusalemu. Hakuna uhakikisho kwamba wanyama ao wanadamu walitupwa katika Gehena ili wateswe ao kuunguzwa wakiwa wazima. Kwa hiyo mahali pale hapangeweza kufananisha mahali kwenye hakuonekane kwenye nafsi za wanadamu zinateswa milele katika moto wa kwelikweli. Lakini, Yesu na wanafunzi wake walitumia neno “Gehena” ili kufananisha azabu ya milele ya “kifo cha pili,” ni kusema, uharibifu wa milele, kuangamia milele.