Maelezo ya Chini
d Inatokana na neno ya Kigiriki por·neiʹa, neno yenye kutumiwa mu Maandiko juu ya kuzungumuzia ngono yoyote yenye Mungu anakataza. Inatia ndani uzinifu, ukahaba, ngono kati ya watu wenye hawayaoana, ngono kati ya wanaume na wanaume na wanamuke na wanamuke, na kufanya ngono na wanyama.