Maelezo ya Chini
a “Kondoo wengine” wa Yesu watakuwa wana wa Mungu ku mwisho wa utawala wa miaka elfu. Lakini, juu wamejitoa kwa Mungu, wanaweza kumuita “Baba” na wanaweza pia kuonwa kuwa wako mu familia ya Mungu.—Yoh. 10:16; Isa. 64:8; Mt. 6:9; Ufu. 20:5.