Maelezo ya Chini
a Watu wa dini fulani wanasema kama ni mubaya kutaya jina ya pekee ya Mungu, hata mu sala. Lakini, ile jina inapatikana karibu mara 7000 mu luga zenye zilitumiwa kuandika Biblia, zaidi sana mu sala za watumishi waaminifu wa Yehova zenye ziko mu kitabu ya Zaburi.