Maelezo ya Chini
a Neno la Kigiriki lililotafsiriwa “takataka” linamaanisha pia “kitu wanachomutupia mbwa,” “mavi.” Mutu mumoja mwenye elimu ya Biblia anasema kwamba matumizi ambayo Paulo alifanya kuhusu neno hilo yanamaanisha “kuangalia pembeni ili usione kitu fulani kisichofaa na chenye kuchukiza ambacho mutu hana lazima yacho tena.”