Maelezo ya Chini
b Uingereza na Amerika zilianza katika miaka ya 1700. Lakini, maono ya Yohana yalionyesha kama serikali kubwa hiyo ingetokea mwanzoni mwa siku ya Bwana. Maono ya kitabu cha Ufunuo yalitimia katika “siku ya Bwana.” (Ufu. 1:10) Uingereza na Amerika zilianza kutumika pamoja zikiwa serikali kubwa ya dunia wakati Vita ya Kwanza ya Ulimwengu ilianza.