Maelezo ya Chini
c Danieli aliona mbele ya wakati namna serikali hiyo ingetokeza uharibifu mukubwa wakati wa vita hiyo, kwa hiyo aliandika hivi: “Naye atasababisha uharibifu kwa njia [yenye kuogopesha].” (Dan. 8:24) Kwa mufano, Amerika ilitupia adui zao bombe mbili za atomike na hilo lilitokeza uharibifu mukubwa sana ambao ulikuwa bado haujafanyika.