Maelezo ya Chini
a Mara nyingi, Biblia inamuita Yehova kuwa baba yetu. Kwa mufano, Yesu alitumia neno “Baba” karibu mara 65 katika Injili ya Mathayo, Marko, na Luka; na zaidi ya mara 100 katika Injili ya Yohana. Mutume Paulo anamuzungumuzia pia Mungu kuwa “Baba” zaidi ya mara 40 katika barua zake. Yehova ni Baba yetu kwa sababu ni yeye aliyetupatia uzima.