Maelezo ya Chini
a Mungu alimuahidi Daudi kama “uzao” wake ungeriti kiti chake cha ufalme. Alitoa ahadi hiyo kisha Absalomu kuzaliwa. Kwa hiyo, Absalomu alipaswa kujua kama Yehova hakumuchagua ili awe mufalme mahali pa baba yake Daudi.—2 Sam. 3:3; 7:12.