Maelezo ya Chini
a Danieli hakumuona Mungu kabisa; ilikuwa maono tu. Anapoeleza mambo aliyoona, Danieli anatumia maneno ya mufano yanayomupa Mungu sura ya kibinadamu. Hatupaswe kuchukua maneno hayo neno kwa neno, yanatusaidia tu kumuelewa Mungu vizuri zaidi.