Maelezo ya Chini
a Lakini itakuwa namna gani ikiwa kitoto kinachoanza kukomaa katika tumbo la uzazi ao ikiwa vile viini vinakuwa na kosoro? Kuharibu viini kimakusudi ni kuondoa mimba. Kwa kawaida viini vinapoingizwa katika tumbo la uzazi, mwanamuke anaweza kubeba mimba ya watoto wengi (mapasa, watoto watatu ao zaidi) na jambo hilo linaleta matatizo zaidi, kama vile kuzaa watoto wasiofikia bado wakati wao na kupoteza damu wakati wa kuzaa. Waganga wanaweza kumushauri mwanamuke aliyetungwa mimba ya watoto wengi kwa ufundi huo aue kitoto kimoja ao zaidi. Kufanya hivyo ni kuondoa mimba kimakusudi, na jambo hilo ni kuua mutu.—Kut. 21:22, 23; Zab. 139:16.