Maelezo ya Chini
a Katika Biblia, neno la Kigiriki linalotafsiriwa “ufufuo” linamaanisha moja kwa moja “kusimama tena.” Neno hilo linatoa wazo la kwamba mutu anarudishwa tena kwenye uzima, akiwa mutu uleule, aliye na sifa zilezile na anayekumbuka mambo yaleyale aliyofanya mbele ya kufa.