Maelezo ya Chini
b Tetragrame (herufi ine zinazofanyiza jina la Mungu ao YHWH) ilikuwa katika maandishi ya Kiebrania ambayo Wakristo wa kwanza-kwanza walitumia. Inaonekana kwamba tetragrame ilikuwa pia katika tafsiri ya Kigiriki ya Maandiko ya Kiebrania ya Septante.