Maelezo ya Chini
b Namna gani ikiwa unakumbuka tu maneno fulani ya andiko lakini unasahau kitabu, sura, na mustari? Tunatumaini kwamba utapata andiko hilo ikiwa unatafuta maneno hayo katika endekse ya maneno inayopatikana kwenye kurasa za mwisho za Biblia, katika Watchtower Library, ao katika konkordanse ya Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Kifaransa.