Maelezo ya Chini
a Watu wengi walio na elimu ya Biblia wanakubali kwamba chini ya Sheria, muhalifu aliuawa mbele atundikwe kwenye muti. Hata hivyo, inaonekana kwamba wakati wa mitume, Wayahudi waliwatundika wahalifu fulani kwenye muti wakiwa wangali wazima nao walifia hapo.