Maelezo ya Chini
a Katika nyakati za zamani, vitu vilivyotumiwa kama karatasi ili kuandika juu yake havikupatikana kwa urahisi na vilikuwa vya bei kali. Kwa hiyo, ilikuwa kawaida kufuta maandishi ya kwanza yaliyoandikwa juu ya vitu hivyo na kuvitumia tena ili kuandika mambo mapya. Vitu hivyo vilivyotumiwa tena viliitwa palimpseste, kutokana na neno la Kigiriki linalomaanisha “kilichokwaruzwa tena.”