Maelezo ya Chini
b Fungu la 8: Moja kati ya mambo yanayozungumuziwa katika mistari hiyo ni ‘kukusanya watu waliochaguliwa.’ (Mt. 24:31) Kwa hiyo, inaonekana kwamba watiwa-mafuta wote watakaokuwa wangali bado duniani kisha sehemu ya kwanza ya ziki kubwa watainuliwa mbinguni mbele ya vita ya Har-magedoni kuanza. Mafasiriyo hayo mapya yanachukua nafasi ya yale yaliyotolewa katika “Maswali Kutoka kwa Wasomaji Wetu” katika Munara wa Mulinzi wa tarehe 15/08/1990, ukurasa wa 30.