Maelezo ya Chini b Fungu la 3: Watumwa hao wanafananisha kabisa malaika kwa sababu mitume wa Yesu walikuwa wamekufa na mabaki ya watiwa-mafuta ndio waliofananishwa na ngano. Baadaye, katika mufano huo Yesu alionyesha kwamba wanaokusanya magugu ni malaika.—Mt. 13:39.