Maelezo ya Chini
e Fungu la 14: Hayo ni mafasirio mapya ya Mathayo 13:42. Zamani, vichapo vyetu vilionyesha kwamba watu wanaojidai kuwa Wakristo wamekuwa ‘wakilia na kusaga meno’ kwa miaka mingi, wakinungunika kwa sababu “wana wa ufalme” wanawafunua wazi kuwa “wana wa yule mwovu.” (Mt. 13:38) Lakini, inaonekana wazi kwamba, watasaga meno wakati wa uharibifu.—Zab. 112:10.