Maelezo ya Chini
c Fungu la 8: Kwa kuwa waamini wapya wote ‘waliendelea kujitoa wenyewe kwa fundisho la mitume,’ hilo linaonyesha kwamba mitume walifundisha kwa ukawaida. Mafundisho fulani ambayo mitume walitolea watu yaliandikwa katika vitabu vilivyoongozwa na roho ya Mungu, ambavyo sasa ni sehemu ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo.