Maelezo ya Chini
e Fungu la 13: Maneno ya mutume Paulo yanayopatikana katika andiko la Matendo 20:29, 30 yanaonyesha kwamba kutaniko lingeshambuliwa kutoka pande mbili. Kwanza, wale wanaojidai kuwa Wakristo (“magugu”) ‘wangeingia katikati ya’ Wakristo wa kweli. Pili, “kutoka katika” Wakristo wa kweli, wengine wangegeuka kuwa waasi-imani, na kusema “mambo yaliyopotoka.”