Maelezo ya Chini
b Wachimbuaji wa vitu vya zamani walivumbua ndani ya udongo, karibu na eneo la Shinari, minara mbalimbali ya hekalu yenye vipandio inayofanana na piramidi. Biblia inasema kwamba wajenzi wa Munara wa Babeli walitengeneza matofali, wala si majiwe, na walitumia lami kama saruji ao simenti. (Mwanzo 11:3, 4) Kitabu kimoja kinasema kwamba katika Mesopotamia, majiwe “hayakupatikana kwa urahisi ao hayakuwa kabisa,” lakini lami ilipatikana kwa uwingi. (The New Encyclopædia Britannica)