Maelezo ya Chini
a Heinrich Meyer, Mujerumani mwenye elimu ya mambo ya Biblia anasema hivi: “Kuona . . . kwamba mwili wa Yesu ulikuwa haujavunjwa (ulikuwa ungali muzima), na vilevile, damu Yake ilikuwa haijamwangwa, hakuna hata mumoja wale walioalikwa [mitume] ambaye angeweza kufikiri . . . kwamba walikuwa wanakula na kunywa kabisa-kabisa mwili na damu ya Bwana, [kwa hiyo] Yesu Mwenyewe hakufikiria kwamba maneno Yake yangeeleweka katika maana ambayo wao [mitume wake] hawangekubaliana nayo baadaye.”