Maelezo ya Chini
b Katika kila safari ya kwenda huko Misri, wana wa Yakobo hawakufanya zaidi ya majuma matatu wakiwa mbali na familia zao. Lakini wakati Yakobo na wana wake walihamia huko Misri, walienda pamoja na bibi zao na watoto wao.—Mwa. 46:6, 7.