Maelezo ya Chini
a Yosefu anazungumuziwa katika tukio lililofanyika wakati Yesu alikuwa na miaka 12, kisha hapo, hazungumuziwe tena katika Injili. Kisha tukio hilo, mama ya Yesu na watoto wake wengine wanazungumuziwa lakini Yosefu hazungumuziwe. Pindi moja Yesu anaitwa “mwana wa Maria” bila kutaja Yosefu.—Marko 6:3.