Maelezo ya Chini
a Katika kitabu chake La Lignée Humaine, Charles Darwin anazungumuzia viungo fulani vya mwili kuwa “si vya lazima.” Mutetezi wake mumoja alisema kwamba kuna viungo kumi na mbili hivi katika miwili wa mwanadamu ambavyo “havina kazi,” kutia ndani sehemu inayopatikana chini ya utumbo mukubwa (ao appendice) na kiungo fulani kinachopatikana ndani ya shingo yetu (ao thymus).