Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Neno la Kigiriki pa·lim’pse·stos linamaanisha “kilichokwaruzwa tena.”

Kisiria Ni Nini?

Kisiria ni moja kati ya luga ndogo za kienyeji zilizotokana na Kiaramu, luga ya taifa katika Utawala wa Uajemi (Perse). Luga hiyo ilizungumuzwa kaskazini mwa Mesopotamia na kuzunguka Antiokia ya zamani, ambako watu wengi waliamini habari njema kati ya mwaka wa 1 na 100 kisha kuzaliwa kwa Yesu. Ikiwa luga yenye kuandikwa, Kisiria kilianza kutumiwa sana kati ya mwaka wa 101 na 200 ao kati ya mwaka wa 201 na 300 kisha kuzaliwa kwa Yesu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine