Maelezo ya Chini
g Katika unabii wake juu ya siku za mwisho, Yesu alisema hivi: ‘Yerusalemu [linalowakilisha utawala wa Mungu] litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mupaka nyakati zilizowekwa za mataifa zitimie.’ (Luka 21:24) Kwa hiyo kipindi cha kukatizwa kwa utawala wa Mungu kilikuwa kinaendelea wakati wa Yesu na kingeendelea mupaka siku za mwisho.