Maelezo ya Chini
d Bila shaka, Neno la Mungu liko na mambo yenye inaweza kuonekana kuwa “magumu kuelewa,” kama vile sehemu fulani zenye kupatikana katika barua za mutume Paulo. Hata hivyo, waandikaji wote wa Biblia waliongozwa na roho takatifu. Roho hiyo inasaidia Wakristo wa kweli leo waelewe kweli zenye Yehova anatutolea na inafanya sisi wenye kuwa na akili kidogo tuelewe kwa njia yenye kuwa wazi zaidi “hata mambo mazito ya Mungu.”—2 Pet. 3:16, 17; 1 Kor. 2:10.