Maelezo ya Chini
a Katika mufano huo wa Yesu, kuna kipindi fulani cha wakati kati ya sauti kubwa yenye kusema, “Huyu hapa bwana-arusi!” (mustari wa 6) na kuja kwa bwana-arusi (mustari wa 10). Katika siku hizi za mwisho, Wakristo watiwa-mafuta wenye kukesha wameelewa vizuri alama yenye kuonyesha kuwapo kwa Yesu. Kwa hiyo, wanajua kwamba iko “hapa,” ni kusema, anatawala katika mamlaka ya Ufalme. Wanaendelea kuvumilia mupaka wakati atakuja.