Maelezo ya Chini
d Kisha kifo cha mitume, Shetani alianzisha uasi-imani, na uasi-imani huo, uliendelea kwa muda wa miaka mingi. Katika kipindi hicho, kazi ya kufanya wanafunzi wa kweli wa Kristo ilifanyika kwa kiasi kidogo sana. Lakini mambo ingebadilika katika kipindi cha “mavuno,” ni kusema, katika siku za mwisho. (Mt. 13:24-30, 36-43) Ona Munara wa Mulinzi wa tarehe 15 Mwezi wa 7, 2013, ukurasa wa 9-12.