Maelezo ya Chini
b Neno ‘Beteli’ linamaanisha “Nyumba ya Mungu.” Mashahidi wa Yehova wanatumia neno hilo ili kutaja biro zao za tawi katika inchi mbalimbali. (Mwanzo 28:17, 19) Watu wanaotumikia kwenye Beteli wanafanya kazi mbalimbali zenye zinategemeza kazi ya kufundisha ya Mashahidi wa Yehova.