Maelezo ya Chini
a Kitabu kimoja kinasema kuwa “paliografia . . . ni sayansi yenye kujifunza maandishi ya zamani.” (Manuscripts of the Greek Bible) Kisha wakati fulani, namna ya kuandika kwa mukono inabadilika. Mabadiliko hayo yanaweza kuonyesha maandishi fulani yaliandikwa wakati gani, ikiwa yanaweza kulinganishwa na maandishi mengine yenye kuwa na tarehe ya hakika.