Maelezo ya Chini
a Watu fulani wanakataa Biblia kwa sababu ya mafundisho ya leo na ya zamani ya dini. Kwa mufano, dini zinafundisha kama dunia iko katikati ya ulimwengu ao kama Mungu aliumba ulimwengu kwa siku sita za saa 24.—Soma kisanduku chenye kichwa “Sayansi Inaunga Mukono Habari za Biblia.”