Maelezo ya Chini
c Misionere John Hunt alitafsiri sehemu kubwa ya Agano Jipya katika luga ya Fiji. Ilichapishwa katika mwaka wa 1847. Tafsiri hiyo ni ya lazima sana kwa sababu inatumia jina la Mungu, “Jiova,” katika Marko 12:36, Luka 20:42, na Matendo 2:34.