Maelezo ya Chini
b Wimbo wa Debora unaonyesha kuwa, mara nyingi wakati Sisera alikuwa anarudi kutoka kwenye vita, alikuwa analeta vitu vingi na hata vijana wanawake. Wakati fulani, kila askari alikuwa anarudia na mwanamuke zaidi ya mumoja. (Waamuzi 5:30) Maneno “tumbo la uzazi” yenye kutumiwa katika andiko hilo, yanamaanisha “kijana mwanamuke.” Maneno hayo yanatukumbusha kuwa wanawake hao walionwa kuwa wa maana zaidi sana kwa sababu ya viungo vyao vya uzazi. Ilikuwa kawaida kulala wanawake kinguvu.