Maelezo ya Chini
b Timotheo alikubali hata kutahiriwa wakati Paulo alimuomba afanye hivyo. Kama alikubali, haiko kwa sababu jambo hilo liliombwa kwa Wakristo, lakini ni kwa sababu Paulo hakutaka Wayahudi wenye wangeenda kuhubiria wawapinge kwa sababu ya kuona kijana huyo mwenye baba yake hakukuwa Muyahudi.—Matendo 16:3.