Maelezo ya Chini
a Tasito, mwenye alizaliwa mwaka wa 55 hivi kisha kuzaliwa kwa Yesu, aliandika kama “Kristo, mwenye jina [Wakristo] lilitokana na jina lake, aliuawa katika mikono ya Pontio Pilato, mumoja kati ya magavana wetu, wakati wa utawala wa Tiberio.” Yesu anatajwa tena na mwanahistoria Suetonius (mwenye alizaliwa katika mwaka wa 69); mwanahistoria Muyahudi Joseph (mwenye alizaliwa katika mwaka wa 37 ao 38); na Plini Mudogo, gavana wa Bithinia (mwenye alizaliwa katika mwaka wa 61 ao 62).