Maelezo ya Chini
a Kwa kupenda, Yesu “aliitoa nafsi [ao, uzima] yake kwa ajili yetu.” (1 Yohana 3:16) Lakini, kwa kuwa zabihu hiyo ilikuwa katika kusudi la Mungu, habari hii na habari mbili zenye kufuata zinakazia daraka la Mungu ambaye ni Mutoaji wa zabihu ya ukombozi.