Maelezo ya Chini
b Ni wazi kwamba, watu wenye elimu ya Biblia walikuwa tayari wametokeza tafsiri za Kiebrania za Agano Jipya. Mumoja kati yao, alikuwa Simon Atoumanos, mutawa wa Bizantini, katika mwaka wa 1360 hivi. Mwengine alikuwa Oswald Schreckenfuchs, wa Ujerumani, katika mwaka wa 1565 hivi. Tafsiri hizo hazikuchapishwa hata siku moja na leo zimekwisha kupotea.