Maelezo ya Chini
b Wakati fulani, Yehova aliruhusu bwana kuwa na bibi wengi ao kuwa na abala. Lakini kisha wakati fulani alimuruhusu Yesu Kristo arudishe mupango wa bwana kuwa na bibi mumoja kama vile kusudi lake lilikuwa katika Edeni.—Mwanzo 2:24; Mathayo 19:3-9.