Maelezo ya Chini
a Inaonekana kuwa Yehova alipenda mitume 12 wafanyize ‘majiwe ya musingi kumi na mawili,’ wa Yerusalemu Mupya. (Ufunuo 21:14) Ndiyo sababu hakukuwa lazima ya kuweka mutu mwengine pa nafasi ya mutume yeyote muaminifu mwenye alifikia kufa.