Maelezo ya Chini
a Katika habari hii, neno “wakimbizi” linazungumuzia watu wenye wamelazimika kuacha makao yao kwa sababu ya vita, mateso, ao misiba ya asili. Wanaweza kulazimika kuishi katika inchi ingine ao katika sehemu ingine ya inchi yao. Tume ya Umoja wa Mataifa Inayoshughulikia Wakimbizi (UNHCR) inasema kama katika dunia yote, mutu 1 kati ya watu 113 analazimika kuacha makao yake.