Maelezo ya Chini
c Wakati tu wakimbizi wanafika katika eneo, wazee wanapaswa kufuata muongozo wenye kupatikana katika kitabu Tengenezo Lenye Kufanya Mapenzi ya Yehova, sura ya 8, fungu la 30. Ili kuzungumuza na kutaniko la wakimbizi wenye kutoka katika inchi fulani, wazee wanaweza kuandikia biro yao ya tawi kwa kutumia adresi yetu ya Internete jw.org. Na wakati huohuo, wanaweza kuuliza mukimbizi kwa hekima habari juu ya kutaniko lake na utumishi wake ili kujua muzuri hali yake ya kiroho.