Maelezo ya Chini
a Kisha kusoma Yohana 7:53–8:11 watu wengi wamefikia kusema kuwa mutu mwenye hana zambi ndiye anaweza tu kumuhukumu mutu mwenye alifanya uzinifu. Lakini watu wengi hawajue kuwa maandiko hayo yaliongezwa na hayakukuwa sehemu ya maandishi ya kwanza-kwanza yenye yaliongozwa na roho ya Mungu. Ndiyo sababu maandiko hayo hayakuwekwa katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya sasa ya Kiingereza. Lakini sheria yenye Mungu alipatia taifa la Israeli ilisema hivi: ‘Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamuke aliye na mume, wote wawili watauawa.’—Kum. 22:22.