Maelezo ya Chini
a Habari fulani kutoka Huduma ya Afya ya Kitaifa ya Uingereza inaripoti hivi: “Vyombo vya kuweka katika tumbo la uzazi vyenye kuwa na shaba nyingi zaidi vinaleta matokeo ya muzuri zaidi ao asilimia 99 (99%). Hilo linamaanisha kuwa kati ya wanawake 100 wenye kutumia chombo chenye kuwekwa ndani ya tumbo la uzazi, inawezekana karibu mwanamuke mumoja ndiye atapata mimba kwa mwaka mumoja. Vyombo vya kuzuia kupata mimba vyenye kuwa na shaba kidogo havilete matokeo ya muzuri.”