Maelezo ya Chini
b Mashahidi wa Yehova wanajifunza na watu Biblia bila kuwaomba kitu chochote. Funzo hilo linaweza kukusaidia uongeze ujuzi wako wa Maandiko. Ili kujua mengi kuhusu namna wanajifunza Biblia na watu, tafazali uangalie video Tunajifunzaka Biblia na Watu Namna Gani? Unaweza kupata video kwenye www.jw.org.