Maelezo ya Chini
a Biblia inataja majina ya pekee ya malaika fulani. (Amu. 13:18; Dan. 8:16; Lu. 1:19; Ufu. 12:7) Inasema pia kama Yehova alipatia kila nyota jina. (Zab. 147:4) Kwa hiyo, inapatana na akili kufikiri kama Yehova alipatia pia malaika wote majina, kutia ndani ule mwenye alifikia kuwa Shetani.