Maelezo ya Chini
a Miaka fulani kisha pale, Yosefu alimupatia mwana wake muzaliwa wa kwanza jina la Manase kwa sababu, alisema hivi: “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote.” Alielewa kama mwana wake alikuwa zawadi yenye Yehova alimupatia ili kumufariji.—Mwa. 41:51, maelezo ya chini.