Maelezo ya Chini
b Watu fulani wanatumia wengine kwenye telefone ujumbe, picha, ao video zenye kuonyesha mambo ya ngono. Kulingana na hali, inaweza kuomba wazee waunde halmashauri ya hukumu. Katika hali fulani, wakubwa wa serikali wamewahukumu vijana kuwa wenye makosa ya kingono, kwa sababu ya kutumia wengine mambo ya ngono. Ili kupata habari zaidi, fungua site yetu ya Enternete jw.org na usome habari yenye kichwa “Vijana Wanauliza—Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kutuma Ujumbe Mchafu?” (Fungua habari yenye kichwa MAFUNDISHO YA BIBLIA > MATINEJA.) Ao usome habari yenye kichwa “Namna ya Kuzungumuza na Kijana Wako Kuhusu Tabia ya Kutuma Mambo ya Ngono Kupitia Telefone” mu Amuka! ya Mwezi wa 11, 2013, ukurasa wa 4-5.